Proverbs 3:1-2

Faida Nyingine Za Hekima


1 aMwanangu, usisahau mafundisho yangu,
bali zitunze amri zangu moyoni mwako,

2 bkwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako
na kukuletea mafanikio.

Copyright information for SwhKC